tanipac@kilimo.go.tz +255 (026) 2161200
  • United Republic of Tanzania
  • Tanzania Initiatives for Preventing Aflatoxin Contamination-TANIPAC

Wakulima Jifunzeni uhifadhi bora wa Mazao kuepuka Sumukuvu!

Serikali ya Tanzania imeupongeza mradi wa kudhibiti sumukuvu (TANIPAC) kwa kuandaa mafunzo kwa wakulima ili watambue namna sahihi ya kukabiliana na tatizo la sumukuvu. Wakulima kupitia mradi wa TANIPAC watajifunza kutambua namna mazao yao…
Read More

Awamu ya kwanza ya Mafunzo ya kutengeneza vihenge vya chuma kwa vijana (artisan) yameanza

Awamu ya kwanza ya Mafunzo ya kutengeneza vihenge vya chuma kwa vijana (artisan) yanayotelewa na mradi wa TANIPAC kwa kushirikiana na Taasisi ya Ufundi Sanifu (VETA) yameanza katika vituo mbalimbali nchini. Awaamu ya kwanza imechukua vijana ...…
Read More

Mafunzo ya udhibiti wa Sumukuvu kwa kutumia kanuni bora za Kilimo na matumizi ya Aflasafe

Mafunzo ya udhibiti wa sumukuvu kwa wakulima yanayoendelea katika Halmashauri 18 za Tanzania Bara zinazotekeleza mradi yamefika katika Halmashauri ya Buchosa ambapo jumla ya wakulima 3,000 katika Halmashauri hiyo watafikiwa. Katika picha, mtaalam…
Read More
s