tanipac@kilimo.go.tz +255 (026) 2161200
  • United Republic of Tanzania
  • Tanzania Initiatives for Preventing Aflatoxin Contamination-TANIPAC

Wakulima na Wafanyabiashara wa mazao ya kilimo wameshauriwa  kurasimisha biashara zao ili kunufaika na fursa za uuzaji na ununuzi wa mazao yao  kwa katika masoko ya ndani na nje ya nchi.

Ushauri huo umetolewa na Mchumi wa Wizara ya Kilimo,  Maria Mtui katika Maonesho ya 47 ya Biashara ya  Kimataifa  Biashara yanayoendelea kwenye Viwanja vya Sabasaba Jijini Dar es Salaam. 

 Mtui amezitaja  faida kadhaa za urasimishaji wa biashara hiyo ikiwa  ni pamoja na kuwalinda wakulima na wafanyabiashara dhidi ya usumbufu na utapeli unaotokea kwenye biashara ya mazao.

Aidha Mtui  amebainisha kuwa wakulima wa hapa nchini wataendelea kunufaika na jitihada za serikali za kutoa huduma kadhaa  ikiwemo  ruzuku  mbolea kwa  wakulima na ili  kupunguzia gharama za uzalishaji.

Project Value

The $35.32 million was setted aside to contribute to the agricultural sector growth, with a focus on preventing aflatoxin prevalence in Tanzania