News and Media

Mafunzo ya udhibiti wa Sumukuvu kwa kutumia kanuni bora za Kilimo na matumizi ya Aflasafe

Mafunzo ya udhibiti wa sumukuvu kwa wakulima yanayoendelea katika Halmashauri 18 za Tanzania Bara zinazotekeleza mradi yamefika katika Halmashauri ya Buchosa ambapo jumla ya wakulima 3,000 katika Halmashauri…

read-more

Mafunzo kwa Wakulima juu ya udhibiti wa Sumukuvu kwa kutumia kiuatilifu cha Kibaiolojia “Aflasafe”

Mradi wa Kudhibiti Sumukuvu Nchini katika mpango kazi wake wa mwaka 2022/2023 ulipanga kutoa mafunzo kwa jumla ya wakulima 54,000 kutoka katika Halmashauri 18 za Tanzania Bara zinazotekeleza mradi ambazo ni…

read-more

Awamu ya kwanza ya Mafunzo ya kutengeneza vihenge vya chuma kwa vijana (artisan) yameanza

Awamu ya kwanza ya Mafunzo ya kutengeneza vihenge vya chuma kwa vijana (artisan) yanayotelewa na mradi wa TANIPAC kwa kushirikiana na Taasisi ya Ufundi Sanifu (VETA) yameanza katika vituo mbalimbali nchini.…

read-more

Wakulima jifunzeni uhifadhi bora wa mazao kuepuka sumukuvu!

Serikali ya Tanzania imeupongeza mradi wa kudhibiti sumukuvu (TANIPAC) kwa kuandaa mafunzo kwa wakulima ili watambue namna sahihi ya kukabiliana na tatizo la sumukuvu. Wakulima kupitia mradi wa TANIPAC…

read-more

Elimu ni muhimu kudhibiti Sumukuvu Nchini

Wizara ya Kilimo kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa sekta ya Kilimo wamekutana kupitia rasimu ya Mkakati wa Kitaifa wa Mawasiliano ya kudhibiti sumukuvu ili kuwezesha jitihada za kukabililiana na tatizo…

read-more
Top